Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+

  • Methali 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+

  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • Wakolosai 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake,

  • 1 Timotheo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vivyo hivyo wanawake wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye uchongezi,+ wawe wenye kiasi+ katika mazoea, waaminifu katika mambo yote.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

  • Ufunuo 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki