Mathayo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani+ ili kujaribiwa+ na Ibilisi. Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika. 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+ Ufunuo 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.
39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.