18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.
6 “Msiwape mbwa kitu kitakatifu,+ wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, ili wasizikanyage-kanyage+ chini ya miguu yao na kugeuka na kuwararua ninyi.