Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wakaendelea kumwita Loti na kumwambia: “Wako wapi wale wanaume ambao waliingia kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tulale nao.”+

  • Waroma 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na vivyo hivyo pia hata wanaume waliacha matumizi ya asili ya mwanamke+ na kuwakiana tamaa kali katika uchu wao kuelekeana wao wenyewe, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu+ na kupokea ndani yao wenyewe malipo kamili,+ yaliyostahili kosa lao.+

  • 1 Timotheo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+

  • Ufunuo 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki