27 na vivyo hivyo pia hata wanaume waliacha matumizi ya asili ya mwanamke+ na kuwakiana tamaa kali katika uchu wao kuelekeana wao wenyewe, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu+ na kupokea ndani yao wenyewe malipo kamili,+ yaliyostahili kosa lao.+
15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’