13 wakijitendea makosa wenyewe+ ikiwa ni thawabu ya kutenda makosa.+
Wao huyaona maisha ya anasa wakati wa mchana kuwa raha.+ Wao ni madoa na dosari, wakijitia mno katika kupendezwa kusikozuiwa katika mafundisho yao ya udanganyifu huku wakila karamu pamoja nanyi.+