2 Petro 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+ Yuda 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.
19 Huku wakiwaahidia uhuru,+ wao wenyewe ni watumwa wa uharibifu.+ Kwa maana yeyote anayeshindwa na mwingine hufanywa mtumwa na huyu.+
10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.