8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+
22 kwamba mnapaswa kuuondolea mbali utu wa zamani+ unaolingana na mwenendo wenu wa kwanza na ambao unaharibiwa+ kulingana na tamaa zake za udanganyifu;+