Yohana 6:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno ambayo nimewaambia ni roho+ na ni uzima.+ Waroma 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana ikiwa mnaishi kupatana na mwili hakika ninyi mtakufa;+ bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.
63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno ambayo nimewaambia ni roho+ na ni uzima.+
13 kwa maana ikiwa mnaishi kupatana na mwili hakika ninyi mtakufa;+ bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.