6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho;+ kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu+ ya kifo, bali roho hufanya kuwa hai.+
8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+