Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+

  • Zaburi 119:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  50 Hii ndiyo faraja yangu katika mateso yangu,+

      Kwa maana maneno yako mwenyewe yamenihifadhi hai.+

  • Mathayo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+

  • Wafilipi 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 mkiendelea kulishika sana neno la uzima,+ ili niwe na sababu ya kufurahi katika ile siku ya Kristo,+ kwamba sikukimbia bure wala kufanya kazi kwa bidii bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki