4 Lakini mimi nikasema: “Nimefanya kazi ya kutaabika bure.+ Nimemaliza nguvu zangu kwa ajili ya jambo lisilo la kweli na la ubatili.+ Kwa kweli hukumu yangu ina Yehova,+ na malipo yangu yana Mungu wangu.”+
2 Lakini nilipanda kwenda kutokana na ufunuo.+ Nami nikaweka mbele yao+ habari njema ambayo ninahubiri kati ya mataifa, hata hivyo, kwa faragha, mbele ya wale waliokuwa watu wenye kutokeza, ili isije kuwa kwamba kwa njia fulani nilikuwa ninakimbia+ au nilikuwa nimekimbia bure.+
5 Hiyo ndiyo sababu, kwa kweli, wakati sikuweza kuvumilia hilo tena, nilimtuma mtu ili nijue juu ya uaminifu wenu,+ kama labda kwa njia fulani yule Mjaribu+ alikuwa amewajaribu ninyi, na kazi yetu ya jasho ikawa ya bure.+