5 Msiwe mkinyimana haki hiyo,+ ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa,+ ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu+ kwa sababu ya ninyi kukosa kujizuia.+
3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+