Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • 1 Timotheo 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mabishano makali juu ya mambo madogo-madogo kwa upande wa watu walioharibika katika akili+ na kuporwa ile kweli,+ wakifikiri kwamba ujitoaji-kimungu ni njia ya kupata faida.+

  • Waebrania 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Msichukuliwe mbali na mafundisho mbalimbali na yaliyo mageni;+ kwa maana ni vizuri moyo upewe uthabiti kwa fadhili zisizostahiliwa,+ si kwa vyakula,+ ambavyo wale wanaojishughulisha navyo hawajapata faida.

  • 2 Petro 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo, ninyi, wapendwa, mkiwa na ujuzi huu wa kimbele,+ jilindeni ili msichukuliwe mbali pamoja nao kwa kosa la watu wanaokaidi sheria, mwanguke kutoka kwenye uimara wenu wenyewe.+

  • 2 Yohana 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Jihadharini, msije mkapoteza mambo ambayo sisi tumefanya kazi ili kuyatokeza, bali mpate thawabu kamili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki