14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.
8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;
2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.