3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+
8 Basi katika njia ambayo Yane na Yambre+ walimpinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli,+ watu walioharibika kabisa akilini,+ waliokataliwa kwa habari ya imani.+
10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.