Wafilipi 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana kuna wengi, nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa nawataja pia nikilia, wanaotembea kama adui za mti wa mateso wa Kristo,+ 2 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao watageuza masikio yao kutoka kwenye kweli, nao watageuzwa kando kufuata hadithi za uwongo.+ Tito 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+
18 Kwa maana kuna wengi, nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa nawataja pia nikilia, wanaotembea kama adui za mti wa mateso wa Kristo,+
14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+