Mwanzo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Adamu akalala na Hawa mke wake naye akapata mimba.+ Baada ya muda akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mwanamume kwa msaada wa Yehova.”+ 1 Samweli 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+ Mathayo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini hakufanya ngono naye+ mpaka alipozaa mwana;+ na Yosefu akamwita jina lake Yesu.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
4 Basi Adamu akalala na Hawa mke wake naye akapata mimba.+ Baada ya muda akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mwanamume kwa msaada wa Yehova.”+
19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+