Luka 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na, tazama! utachukua mimba katika tumbo lako la uzazi na kuzaa mwana,+ nawe utamwita jina lake Yesu.+ Luka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+
31 na, tazama! utachukua mimba katika tumbo lako la uzazi na kuzaa mwana,+ nawe utamwita jina lake Yesu.+
21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+