Mwanzo 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kila mwanamume wa kwenu wa umri wa siku nane lazima atahiriwe,+ kulingana na vizazi vyenu, yeyote aliyezaliwa ndani ya nyumba na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si wa uzao wako. Mambo ya Walawi 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na siku ya nane ngozi ya govi la mtoto huyo itatahiriwa.+ Wagalatia 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+
12 Na kila mwanamume wa kwenu wa umri wa siku nane lazima atahiriwe,+ kulingana na vizazi vyenu, yeyote aliyezaliwa ndani ya nyumba na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si wa uzao wako.
4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+