Mwanzo 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+ Waamuzi 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea huyo mwanamke,+ akamwambia: “Tazama, sasa, wewe ni tasa nawe hujazaa mtoto yeyote. Nawe hakika utachukua mimba na kuzaa mwana.+ Wagalatia 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+
11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+
3 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea huyo mwanamke,+ akamwambia: “Tazama, sasa, wewe ni tasa nawe hujazaa mtoto yeyote. Nawe hakika utachukua mimba na kuzaa mwana.+
4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+