Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo akaendelea kusema: “Hakika mimi nitarudi kwako mwaka ujao wakati huu, na, tazama! Sara mke wako atapata mwana.”+ Basi Sara alikuwa akisikiliza kwenye mwingilio wa hema, nao ulikuwa nyuma ya mwanamume huyo.

  • 1 Samweli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+

  • 2 Wafalme 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha akasema: “Mwaka ujao wakati huu uliowekwa utakuwa unamkumbatia mwana.”+ Lakini mwanamke huyo akasema: “Hapana, bwana wangu, ewe mtu wa Mungu wa kweli! Usimwambie uwongo mjakazi wako.”

  • Luka 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki