Mwanzo 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Sara akapata mimba,+ kisha akamzalia Abrahamu mwana katika umri wake wa uzee kwa wakati uliowekwa ambao Mungu alikuwa amemwambia.+ Mathayo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya. Waroma 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana neno la ahadi lilikuwa hivi: “Wakati huu nitakuja na Sara atapata mwana.”+
2 Naye Sara akapata mimba,+ kisha akamzalia Abrahamu mwana katika umri wake wa uzee kwa wakati uliowekwa ambao Mungu alikuwa amemwambia.+
9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.