Mwanzo 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hata hivyo, agano langu nitalifanya pamoja na Isaka,+ ambaye Sara atakuzalia wakati huu uliowekwa mwaka ujao.”+ Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.” 2 Wafalme 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hata hivyo, mwaka uliofuata, yule mwanamke akapata mimba akazaa mwana+ wakati huu uliowekwa, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.+ Waroma 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana neno la ahadi lilikuwa hivi: “Wakati huu nitakuja na Sara atapata mwana.”+
21 Hata hivyo, agano langu nitalifanya pamoja na Isaka,+ ambaye Sara atakuzalia wakati huu uliowekwa mwaka ujao.”+
14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”
17 Hata hivyo, mwaka uliofuata, yule mwanamke akapata mimba akazaa mwana+ wakati huu uliowekwa, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.+