Mathayo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+ Luka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+
21 Yeye atazaa mwana, nawe lazima umwite jina lake Yesu,+ kwa maana ataokoa+ watu wake+ kutoka katika dhambi zao.”+
21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+