Mwanzo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Adamu akafanya ngono na Hawa mke wake, na Hawa akapata mimba.+ Akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mtoto wa kiume kwa msaada wa Yehova.” Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:1 Mnara wa Mlinzi,1/1/2013, uku. 13 Igeni, kur. 10-11 Neno la Mungu, uku. 151
4 Basi Adamu akafanya ngono na Hawa mke wake, na Hawa akapata mimba.+ Akamzaa Kaini+ na kusema: “Nimezaa mtoto wa kiume kwa msaada wa Yehova.”