Zaburi 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova. Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+
23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.