58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.
16 mkiendelea kulishika sana neno la uzima,+ ili niwe na sababu ya kufurahi katika ile siku ya Kristo,+ kwamba sikukimbia bure wala kufanya kazi kwa bidii bure.+