2 Wakorintho 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kama vile ambavyo mmetambua pia, kwa kadiri fulani, kwamba sisi ni sababu yenu ya kujisifu,+ kama vile ninyi mtakavyokuwa kwetu pia katika siku ya Bwana wetu Yesu.+ 1 Wathesalonike 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+
14 kama vile ambavyo mmetambua pia, kwa kadiri fulani, kwamba sisi ni sababu yenu ya kujisifu,+ kama vile ninyi mtakavyokuwa kwetu pia katika siku ya Bwana wetu Yesu.+
19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+