Wafilipi 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 mkiendelea kulishika sana neno la uzima,+ ili niwe na sababu ya kufurahi katika ile siku ya Kristo,+ kwamba sikukimbia bure wala kufanya kazi kwa bidii bure.+ 1 Wathesalonike 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+
16 mkiendelea kulishika sana neno la uzima,+ ili niwe na sababu ya kufurahi katika ile siku ya Kristo,+ kwamba sikukimbia bure wala kufanya kazi kwa bidii bure.+
19 Kwa maana ni nini tumaini letu au shangwe au taji+ la furaha—je, kwa kweli si ninyi?—mbele ya Bwana wetu Yesu wakati wa kuwapo kwake?+