Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 lakini naupigapiga mwili+ wangu na kuuongoza kama mtumwa, ili, baada ya mimi kuwahubiria wengine, mimi mwenyewe nisikataliwe+ kwa njia fulani.

  • Wagalatia 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Zaidi ya hayo, wale walio wa Kristo Yesu waliutundika mwili mtini pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.+

  • Wagalatia 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+

  • Waefeso 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kwamba mnapaswa kuuondolea mbali utu wa zamani+ unaolingana na mwenendo wenu wa kwanza na ambao unaharibiwa+ kulingana na tamaa zake za udanganyifu;+

  • Wakolosai 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, viueni+ viungo vya mwili+ wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na kutamani,+ ambako ni ibada ya sanamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki