Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 81:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+

      Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+

  • Matendo 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa hiyo Mungu akageuka na kuwakabidhi+ watoe utumishi mtakatifu kwa jeshi la mbinguni, kama vile ambavyo imeandikwa katika kitabu cha manabii,+ ‘Je, mimi ndiye mliyetolea wanyama na dhabihu nyikani kwa miaka 40, Ee nyumba ya Israeli?+

  • 2 Wakorintho 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Labda, nitakapokuja tena, huenda Mungu wangu akaninyenyekeza katikati yenu, nami huenda nikaomboleza juu ya wengi kati ya wale ambao hapo zamani walitenda dhambi+ lakini hawajatubu kutokana na unajisi wao na uasherati+ na mwenendo mpotovu+ ambao wamezoea kutenda.

  • Wagalatia 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki