9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+
13 Vyakula kwa ajili ya tumbo, na tumbo kwa ajili ya vyakula;+ lakini Mungu atafanya hilo na pia hivyo viwe si kitu.+ Basi mwili si kwa ajili ya uasherati, bali kwa ajili ya Bwana;+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili.+