Zaburi 81:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+ Waroma 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo, kwa kupatana na tamaa za mioyo yao, Mungu aliwaacha katika uchafu,+ ili miili+ yao ivunjiwe heshima kati yao,+ 2 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hiyo ndiyo sababu Mungu huacha utendaji wa kosa uwaendee wao, ili wauamini uwongo,+
24 Kwa hiyo, kwa kupatana na tamaa za mioyo yao, Mungu aliwaacha katika uchafu,+ ili miili+ yao ivunjiwe heshima kati yao,+