Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.

  • Wagalatia 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa matendo ya mwili ni wazi,+ nayo ni uasherati,+ uchafu, mwenendo mpotovu,+

  • Waefeso 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+

  • 2 Petro 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata+ matendo yao ya mwenendo mpotovu,+ na kwa sababu ya hao ile njia ya kweli itatukanwa.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu yangu ni kwamba watu fulani wameingia ndani kisirisiri+ ambao tangu zamani za kale walitangulia kutajwa+ na Maandiko kwa ajili ya hukumu hii,+ watu wasiomwogopa Mungu,+ wanaozigeuza fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu+ na kumkana+ Mmiliki+ na Bwana+ wetu pekee, Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki