-
2 Wakorintho 12:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Labda, nijapo tena, huenda Mungu wangu akanitweza miongoni mwenu, na huenda nikaomboleza juu ya wengi kati ya wale ambao hapo zamani walitenda dhambi lakini hawajatubia ukosefu wao wa usafi na uasherati na mwenendo mlegevu ambao wamezoea kufanya.
-