Methali 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+ Methali 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwenye dhihaka hampendi mtu anayemkaripia.+ Yeye hataenda kwa watu wenye hekima.+ Mathayo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Popote pale ambapo mtu hawakaribishi au hasikilizi maneno yenu, mnapoondoka katika nyumba hiyo au jiji hilo yakung’uteni mavumbi kutoka miguuni penu.+
7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+
14 Popote pale ambapo mtu hawakaribishi au hasikilizi maneno yenu, mnapoondoka katika nyumba hiyo au jiji hilo yakung’uteni mavumbi kutoka miguuni penu.+