-
2 Mambo ya Nyakati 25:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Na ikawa kwamba aliposema naye, mara moja mfalme akamwambia: “Je, tulikuweka wewe kuwa mshauri wa mfalme?+ Acha kwa faida yako mwenyewe.+ Kwa nini wakupige na kukuua?” Kwa hiyo yule nabii akaacha, lakini akasema: “Hakika ninajua kwamba Mungu ameazimia kukuangamiza wewe,+ kwa sababu umetenda hivi+ wala hukulisikiliza shauri langu.”+
-