11 ‘Hata vumbi lililoshikamana na miguu yetu kutoka katika jiji lenu tunalifuta juu yenu.+ Hata hivyo, wekeni jambo hili akilini, kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.’
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+