Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Popote pale ambapo mtu hawakaribishi au hasikilizi maneno yenu, mnapoondoka katika nyumba hiyo au jiji hilo yakung’uteni mavumbi kutoka miguuni penu.+

  • Luka 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na popote ambapo watu hawawapokei ninyi, mnapoondoka katika jiji hilo+ yakung’uteni mavumbi kutoka miguuni penu ili kuwa ushahidi juu yao.”+

  • Matendo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki