1 Wafalme 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+ Methali 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwenye dhihaka hampendi mtu anayemkaripia.+ Yeye hataenda kwa watu wenye hekima.+
17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+