Matendo 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wala hawawezi kukuthibitishia+ mambo wanayonishtaki sasa hivi. 2 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+ Yuda 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa namna kama hiyo, ingawaje, watu hawa, pia, wakijitia mno katika ndoto,+ wanautia mwili unajisi na kupuuza mamlaka+ na kuwatukana watukufu.+
10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+
8 Kwa namna kama hiyo, ingawaje, watu hawa, pia, wakijitia mno katika ndoto,+ wanautia mwili unajisi na kupuuza mamlaka+ na kuwatukana watukufu.+