Kumbukumbu la Torati 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+ 2 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+
12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+
10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+