Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:163
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 163 Nimeuchukia uwongo,+ nami naendelea kuuchukia.+

      Sheria yako nimeipenda.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Methali 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mdomo wa ukweli+ ndio utakaofanywa imara milele,+ lakini ulimi wa uwongo ni wa muda mfupi tu.+

  • Hosea 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+

  • 1 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki