Zaburi 119:104 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Ninajiendesha kwa uelewaji kwa sababu ya maagizo yako.+Ndiyo sababu nimeichukia kila njia ya uwongo.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Amosi 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+
104 Ninajiendesha kwa uelewaji kwa sababu ya maagizo yako.+Ndiyo sababu nimeichukia kila njia ya uwongo.+
15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+