Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Zaburi 101:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+Halishikamani nami.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Methali 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu huchukia neno la uwongo,+ lakini waovu hutenda kwa aibu na kujiletea fedheha.+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+Halishikamani nami.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+