Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+

      Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+

      Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+

  • Zaburi 101:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+

      Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+

      Halishikamani nami.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Methali 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mwadilifu huchukia neno la uwongo,+ lakini waovu hutenda kwa aibu na kujiletea fedheha.+

  • Waroma 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki