8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+
20 Basi Samweli akawaambia watu: “Msiogope.+ Ninyi—mmefanya uovu huu wote. Ila tu msigeuke kando mwache kumtumikia Yehova,+ nanyi lazima mmtumikie Yehova kwa moyo wenu wote.+
21 Kwa maana ingalikuwa afadhali kwao kama hawangalijua kwa usahihi njia ya uadilifu+ kuliko baada ya kuijua kwa usahihi kugeuka kutoka katika amri takatifu waliyopewa.+
23 waokoeni+ kwa kuwanyakua kutoka katika moto.+ Lakini endeleeni kuonyesha wengine rehema, mkifanya hivyo kwa kuogopa, huku mkilichukia hata vazi la ndani ambalo mwili umelitia doa.+