16 Halafu nikaangalia, na tazama, ninyi mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejifanyia wenyewe ndama wa kuyeyushwa.+ Mlikuwa mmegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru ninyi.+
17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.