Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nawe utawaonya juu ya masharti na sheria,+ nawe utawajulisha njia wanayopaswa kuitembea na kazi wanayopaswa kuifanya.+

  • Kutoka 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usiwe na miungu mingine+ yoyote dhidi ya uso wangu.

  • Kumbukumbu la Torati 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Halafu nikaangalia, na tazama, ninyi mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejifanyia wenyewe ndama wa kuyeyushwa.+ Mlikuwa mmegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru ninyi.+

  • Waamuzi 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki