8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+
12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda kwa uharibifu.+ Wamegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe sanamu ya kuyeyushwa.’+
7 Na watu wakaendelea kumtumikia Yehova siku zote za Yoshua na siku zote za wale wanaume wazee walioendelea kuishi baada ya Yoshua na ambao walikuwa wameona kazi yote kubwa ya Yehova ambayo aliwafanyia Israeli.+