3 Lakini ninyi, mmeona mambo yote ambayo Yehova Mungu wenu aliyatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye aliyekuwa akiwapigania ninyi.+
31 Na Israeli wakaendelea kumtumikia Yehova siku zote za Yoshua na siku zote za wale wanaume wazee walioendelea kuishi baada ya Yoshua,+ waliokuwa wamejua kazi yote ya Yehova ambayo alifanya kwa ajili ya Israeli.+