Yoshua 24:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Waisraeli waliendelea kumtumikia Yehova siku zote za Yoshua na sikuzote za wazee walioendelea kuishi baada ya Yoshua kufa ambao walikuwa wameona mambo yote makuu ambayo Yehova aliwatendea Waisraeli.+
31 Waisraeli waliendelea kumtumikia Yehova siku zote za Yoshua na sikuzote za wazee walioendelea kuishi baada ya Yoshua kufa ambao walikuwa wameona mambo yote makuu ambayo Yehova aliwatendea Waisraeli.+